
Baadhi ya wanawake waliokabidhiwa vyerehani na chupa za chai, kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi
Mbunge Msongozi amesema kwamba wanawake wengi wamekuwa tegemezi kwa kushindwa kujishughulisha, hivyo ameamua kuwaletea vyerehani hivyo ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kaulimbiu ya Tanzania ya viwanda kwa kuwainua wanawake.