Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Lugangira atamani kodi za kidijitali

Jumatano , 20th Oct , 2021

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Neema Lugangira amesema ni wakati sasa wa taifa kupitia Tume ya Tehama kufikiria kuanzisha kodi za kidijitali ikiwa ni sehemu ya hatua kuelekea ujenzi wa taifa na uchumi wa kidijitali.

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Neema Lugangira

Lugangira ameyasema hayo leo Oktoba 20, 2021, wakati akichangia hoja kwenye kongamano la Tehema lililofanyika kwenye ukumbi wa Simba ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC).

''Wanawake kwenye siasa wanapitia changamoto sana mitandaoni, naongea hili mimi kama mbunge ambaye nakumbana na hilo na iko wazi kuna chuki kubwa na ubaguzi nadhani tunatakiwa kuangalia sera ya ICT inasemaje ili kusaidia kundi hili na pengine uwepo wa kodi za kidijitali utasaidia kudhibiti hili,'' ameeleza Neema Lugangira.

Amesisitiza kuwa dunia kwasasa inabadilika hivyo ni vyema kwenda sawa na mataifa mengine duniani yanavyofanya hususani kwenye makampuni makubwa ya Tehema yenye usajili ndani na nje ya nchi zao kama Google na mengine ambayo hulipa kodi kutokana na makubaliano ya usajili wao.

Hata hivyo Mkurugenzi Mkuu wa Tehama Samson Mwela amesema wameuichukua ushauri huo na wataitisha mkutano wa wadau ili kuona jinsi gani watatekeleza.

Samson Mwela (kushoto) Mkurugenzi Mkuu Tume ya TEHAMA

''Tunaompango mkubwa wa kuwasaidia Start ups kwenye TEHEMA lakini pia tutakaa na washirika/wadau mbalimbali nadhani mwezi Novemba, ili kuona jinsi gani wanafikia lengo lakini pia hata haya masuala ya kodi kidijitali tutajadili kwa pamoja,'' ameeleza Samson Mwela, Mkurugenzi Mkuu Tume ya TEHAMA.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera