Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchng. Msigwa ashikiliwa na polisi Iringa

Jumatano , 30th Sep , 2015

Watu 62 akiwemo Mgombea Ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mchng. Peter Msigwa wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kuufanyia fujo msafara wa Mgombea Urais wa CCM, Dkt. John Magufuli.

Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akisindikizwa Mahakamani, (Picha hii ni tukio lililotokea siku za nyuma halihusiani jinsi alivyokamatwa siku ya Jana)

Habari zilizothibitishwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo zinasema kuwa wanamshikilia mbunge huyo kuhusika kwa namna moja ama nyingine katika kushawishi watu hao kufanya fujo.

Aidha mtoa taarifa huyo wa jeshi la polisi ameongeza kuwa kwa uchunguzi wa awali zinaonesha kuwa mchungaji huyo aliaandaa njama za kuwashawishi vijana hao kuwashambulia wanachama wa CCM, wakati mgombea wao urais alipofanya mikutano yake ya kampeni mkoani humo.

Wakati huohuo mgombea urais huyo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Isimani, Mtera kuelekea Dodoma huku akiwataka watanzania kumpa kura na kumuamini kwa kuwa ataunda serikali yenye uadifu na kufanya kazi.

Aidha Mh. Magufuli amesema kuwa endapoa atapewa ridhaa hiyo pia serikali yake itawajali wanachuo wanaomaliza elimu ya juu kwa kuwapa mikopo ambayo itakayowawezesha kuanzisha makampuni ili kuongeza wigo wa soko la ajira.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea