Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfahamu Waziri aliyekuwa anaenda kunyoosha Ulaya

Jumanne , 1st Sep , 2020

Waziri wa Katiba na Sheria, ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Dkt Mwigulu Nchemba, amesema kuwa miongoni mwa wagombea wanaojinadi kama ni watoto wa Singida siyo wazalendo kwa kuwa kuna mmoja alipokuwa Waziri alikuwa anaenda kunyosha Suti nje ya Nchi.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Mwigulu Nchemba.

Dkt Nchemba ametoa kauli hiyo hii leo Septemba 1, 2020, katika Uwanja wa Bombadier uliopo Mjini Singida, wakati mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akiomba kura kwa wananchi wa Mkoa huo.

"Wengine wanakuja hapa wanajifanya eti ni watoto wa Singida hawana hata uzalendo, kuna mmoja Mh Rais tulikuwa Mawaziri wote hata Suti zake alikuwa anaenda kunyoosha Ulaya, anauchungu na Singida huyo!, wengine walikuwa wanasema Tanzania siyo salama sasa hivi wamekuja sababu advance wamechukua baada ya uchaguzi tu watasema siyo salama", amesema Dkt Nchemba.

Aidha Dkt Nchemba ameongeza kuwa, "Ninyi Wana Singida niwaambieni Rais ni huyu Dkt Magufuli na kwa kuwa sisi ndiyo mtakuwa mnatutuma, niwaombe ihurumieni Tanzania wale wagombea wengine wote nawafahamu na nikiangalia janja janja yao hata advance walishachukua nchi yetu itauzwa". 

 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini