Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgogoro wa CUF wampeleka Mbunge CCM

Jumatatu , 13th Aug , 2018

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Liwale mkoani Lindi, Zuberi Kuchauka kupitia chama cha CUF amejivua nyadhifa zote ikiwemo ubunge na kujiunga na chama cha mapinduzi CCM.

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Liwale (CUF), Zuberi Kuchauka.

Kuchauka ametangaza uamuzi huo leo Agosti 13, 2018 alipokaribishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally katika ofisi ndogo za CCM zilizoko Lumumba jijini Dar es salaam.

Akizungumzia sababu za kurejea CCM, Kuchauka amesema ameamua kurejea CCM kwa sababu chama chake kimekuwa na mgogoro kwa muda mrefu hivyo kimepoteza dira, hali inayompa shida katika majukumu yake kwa wananchi.

"Kuanzia sasa hivi mimi sio mwanachama wa CUF kwa mtazamo huo maana yake ni kwamba, niliwahi kuwa CCM nimerejea. Narejea kwa sababu nina uhakika nimefanya utafiti wa kutosha na kubaini kuwa CCM ya Rais John Magufuli imerejea kwenye misingi ya TANU, na mimi kama mwananchi mpenda maendeleo sikuona kigugumizi kurejea," amesema Kuchauka.

Pia ameongeza; "Kwa nini nimechukua uamuzi huu leo, mnafahamu nilikuwa CUFnamna gani tumepoteza mwelekeo, mimi nimechaguliwa na wananchi, ninapokuwa huku kuna migogoro inanizuia kufanya kazi, CCM wametufanyia mambo makubwa sana. Ndio maana nimeona bora nirejee."

Naye Dkt. Bashiru amesema CCM itaendelea kupokea wanachama wapya na wanaorejea CCM, "Tunaendelea kupokea wanachama wapya na wanaorudi. Leo tumepokea wa upinzani akiwa mbunge Kuchauka wa CUF Liwale  anajiunga tena na CCM sababu aliwahi kuwa mwanaccm," amesema.

CUF imekumbwa na mgogoro tangu Profesa Ibrahim Lipumba kurejea katika uongozi mwaka 2016, ikiwa ni mwaka mmoja tangu alipojiuzulu uenyekiti wa chama hicho.

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria