Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miili ya mama na wanaye yaagwa, ndugu wazimia

Alhamisi , 1st Dec , 2022

Miili ya mama na watoto wake wawili waliofariki kwa ajali ya gari wakitoka kwenye mahafali ya kidato cha nne ya mmoja wa marehemu, imeagwa leo jijini Dar es Salaam katika kanisa la KKKT Usharika wa Tabata.

Majeneza yaliyobeba miili ya Mama na watoto wake wawili waliofariki kwa ajali

Vilio na majonzi vimetawala katika kanisa la KKKT Tabata ikiagwa miili ya mama Imaculata, na watoto wake Joelista na Janeth Mchungaji wa kanisa hilo  amewataka waombolezaji kujiandaa na siku ya kuondoka kwao, kwani nao hawajui siku watakayoondoka duniani, akihimiza watu kutenda mema.

Ajali hiyo ilitokea usiku wa Novemba 26 mwaka huu, ambapo mama wa familia hiyo, Immaculata Byemerwa (49) pamoja na watoto wake wawili Jolister Byemerwa (17) aliyefanyiwa sherehe ya kuhitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Gili ya Kibaha na Janeth Byemerwa  (20) mwanafunzi aliyekuwa anasoma mwaka wa tatu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam walipoteza maisha.

Baada ya miili hiyo kuagwa mchana wa leo Tabata Dar, imeenda kuzikwa Kibaha Mkoani Pwani, huku dua nyingi zikielekezwa kwa  Albert Mrema dereva aliyekuwepo kwenye gari sasa yupo chumba cha uangalizi katika Hospitali ya Mloganzila akipatiwa matibabu.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu