Miss Ukraine mwaka 2015, Anastasia Lenna
Anastasia kupitia ukurasa wake wa instagram ame-post video akiwa anajifunza kutumia bunduki na kusema yoyote atakaevuka mipaka atauawa.
Pia ametawaka wanajeshi wa Ukraine waziondoe alama za barabarani ili kupoteza mwelekeo kwa wanajeshi wa Urusi wakitembea ndani ya nchi hiyo.



