Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkuu wa upelelezi auawa kwa risasi

Jumatano , 22nd Feb , 2017

Watu watatu wameuawa katika tukio la kiuhalifu akiwamo mkuu wa upelelezi wilaya Kibiti mkoani Pwani

Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Kibiti, mkoa wa Pwani, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Peter Kubezya wakati wa uhai wake.

Tukio hilo lilitokea jana saa moja usiku  katika kizuizi cha kutoza ushuru wa mazao ya misitu eneo la Jaribu Mpakani wilayani Kibiti mkoani Pwani.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ambapo watu wanne wenye silaha walivamia katika kituo hicho na kuwaua wafanyakazi wawili ambao ni  Rashid Mgamba, mlinzi wa kituo hicho,  na Afisa uvuvi Peter James .

Watu hao pia walimuua kwa kumpiga risasi tumboni mkuu wa upelelezi wilaya ya Kibiti ASP Peter Kubezya , ambaye alikuwa amefika kusaidia akiwa katika opereshen maalumu.

Mara baada ya tukio hilo watu hao  walikimbia na kutelekeza piki piki zao mbili pia  waliacha kipeperushi kinachosomeka kuwa  kupinga uwepo wa kizuizi cha kutoza mazao ya misitu ikiwemo mkaa kwani walidai ni kudhulumu wananchi wabeba mkaa.

Huyu hapa Waziri Mwigulu akizungumza na wakazi wa eneo hilo.......

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi