Picha hii sio ya tukio la leo
Taarifa za awali zimeeleza kuwa moto huo umezuka alfajiri ya leo Julai 5, 2020 na kuteketeza maduka hayo ndani ya soko.
Mpaka muda huu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.
Chanzo bado hakijabainishwa na jitihada za kuwapata watu wa mamlaka za usalama zinaendelea.