Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa
Akizungumza leo Februari 12, 2020, na EATV&EA Radio Digital, Mchungaji Msigwa amesema kuwa bado anayo nia ya kuendelea kuongoza jimbo la Iringa Mjini na kwamba wananchi bado wana muhitaji sana.
"Katika research niliyofanya katika watu 10, 7 kati yao wananiunga mkono, wawili wanaiunga mkono CCM, Mmoja haelewi na hajafanya maamuzi, sasa nitakosaje kugombea na nimelipa hela nyingi sana ili kufanya utafiti kitaalamu" amesema Msigwa.
Tazama Video hapa chini.