Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtanzania achaguliwa Ubunge Pakistan

Jumatano , 15th Aug , 2018

Mwanamke mmoja aitwaye Tanzeela Qambrani ambaye asili yake ni Tanzania ameandika historia kuwa Mwafrika wa kwanza kuchaguliwa kuwa mbunge katika Jimbo la Sindh nchini Pakistan akiwakilisha wanawake.

Tanzeela Qambrani mbunge wa Jimbo la Sindh nchini Pakistan.

Tanzeela ambaye anatoka jamii inayodharauliwa ya waliowachache ya Sheedi yaani watu wenye asili ya Afrika, aliapishwa Jumatatu kuwa mjumbe wa Bunge la Sindh kupitia chama cha Pakistan People’s Party (PPP).

Inaelezwa kuwa Tanzeela ambae amekuwa mtetezi wa elimu na haki za wasichana nchini humo ametokea kwenye jamii Sindh ambayo ndio jamii ya watu wenye asili ya Afrika ambao hubaguliwa sana nchini humo.

Baada ya kuapishwa amesema “Nimejihisi kama Nelson Mandela wakati naapishwa naamini nitakwenda kuipa heshima jamii yangu ambayo imejitahidi kulinda tamaduni za kiafrika licha ya kuwa kwenye himaya ya watu weupe”.

Inadaiwa kuwa Mababu wa Tanzeela ambae ni mtaalamu wa masuala ya Kompyuta walitokea Tanzania kabla ya kuingia nchini humo huku Dada yake mmoja na Tanzeela anatajwa kuolewa nchini Tanzania.

Aidha Tanzeela ana matumaini kuwa uteuzi wake utasaidia kuondoa unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya Watu wa jamii yake ya Sidi wenye asili ya Afrika.

Mpaka sasa familia ya Tanzeela imeendelea kuweka muunganiko na Afrika kwani mmoja wa dada zake aliolewa Tanzania, wakati mwingine aliolewa Ghana.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea