Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto amfikisha Mahakamani Baba yake akidai urithi

Jumanne , 22nd Jun , 2021

Katika tukio ambalo sio la kawaida kwa mila na tamaduni zetu, mzee wa miaka 80 aitwaje Khalid Segereje Mkazi wa kijiji cha Mwamgongo mkoani Kigoma amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Kigoma na mtoto wake wa kumzaa ambaye anadai ampatie urithi wake.

Mzee Khalid Segereje (80), alipofika Mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi aliyofunguliwa na mtoto wake

Mzee huyo amefikishwa Mahakamani hapo akifunguliwa shtaka la madai na mtoto wake aitwaye Abas Khalid kesi hiyo ya madai ya mirathi namba 8 ya mwaka 2021, ikiwa ni rufaa kutika Mahakama ya Mwanzo ya Kalinzi alipokuwa amefungua kesi hiyo awali na Mahakama hiyo kumpa ushindi mzee huyo hali iliyosababisha kijana wake kukata rufaa katika ngazi ya juu zaidi.

Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo Kenneth Mutembei ambaye aliutaka upande wa mlalamikaji ueleze kwa nini yuko Mahakamni hapo hatua iliyoleta kigugumizi kwake na baada ya Hakimu kumsihi kwa muda akaeleza kuwa amelazimika kufungua kesi hiyo dhidi ya baba yake mzazi kutokana na kutokunufaika na mali ambazo zilikuwa za baba yake na mama yake ambaye tayari ameshafariki dunia na mzee huyo kuoa mwanamke mwingine ambaye ndiye anayenufaika yeye na watoto wake.

Wakili upande wa utetezi Thomas Msasa ambaye ameeleza kujitolea kumsaidia mzee huyo akiongea mara baada ya maelezo ya shauri hilo kusikilizwa amesema anaamini atasimamia vyema kuhakikisha haki ya mzee haipotei.

Hakimu Mutembei baada ya kusikiliza maelezo ya shauri hilo akatoa uamzi wa shauri hilo kuendeshwa kwa njia ya maandishi hivyo upande wa mlalamikaji watatakiwa kuwasilisha hoja zao kwa maandishi ifikapo 28 Juni 28 mwaka huu na huku upande wa utetezi ukitakiwa kuwasilisha majibu mnamo Julai 5 kisha 12 Julai pande zote mbili zitafika Mahakamani hapo kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya hukumu.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita