Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Ijumaa , 18th Mei , 2018

Mansa Musa ndiye mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani. Kina Bill Gates na matajiri wa dunia unaowajua hajawahi kufika rekodi ya utajiri wake. Mansa Mussa Alikuwa Mfalme Wa Mali kuanzia mwaka 1312 hadi mwaka 1337.

Alizaliwa mwaka 1280 na lipewa jina la "Mansa" likimaanisha mfalme wa wafalme, sababu alitawala ufalme mkubwa Afrika, uliojulikana kama "Malike Empire" au Mali Empire. Babu yake Mansa Musa alikuwa kaka wa Sundiata Keita ambaye alianzisha 'Mali empire'.

Anashikilia rekodi ya kuwa mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani ambapo utajiri wake umetajwa kuwa dola za kimarekani bilioni 400, ambazo kina Bill Gates na hata tajiri namba moja wa sasa Jeff Bezos, hawjahi kufikia, kwa mujibu wa mtandao wa Bloomberg Billionaires Index

Wakati wa utawala wake alikuwa akimiliki dhahabu zenye thamani kubwa. Aliwahi kufanya safari ya kihistoria ambapo alipeleka Hija watu 60,000 kwa mpigo! na kuwasafirisha watumwa 12,000 kwa ajili ya ibada hiyo takatifu kwenye dini ya Kiislam, huku akisafiri kwa kutumia ngamia zaidi ya 100 ambao wamebeba dhahabu zenye kilo zaidi ya 100 kila mmoja.

Imeelezwa kwamba alikuwa na desturi ya kujenga misikiti kila ijumaa, na baadhi ya misikiti aliyoijenga ni pamoja na Msikiti mkubwa wa Djingareyber ambao upo mpaka leo, na umewekwa chini ya Urithi wa dunia na UNESCO.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea