Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muhimbili yaeleza sababu ya vifo vya majeruhi

Jumatano , 21st Aug , 2019

Kufuatia kuwepo kwa maswali kadhaa ya watu kuhoji,  sababu inayopelekea majeruhi wa ajali ya moto waliohamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufariki kila iitwapo leo, uongozi wa hospitali hiyo umebainisha chanzo cha vifo hivyo.

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Daktari bingwa wa upasuaji katika Hospitali hiyo  Dk. Laurian Rwanyuma, amesema kuna weza kukawa kunautofauti wa vifaa vinavyopatikana katika hospitali zilizo nje ya nchi, lakini tatizo kubwa lililojitokeza ni wagonjwa kuungua sehemu kubwa ya miili yao.

''Katika suala hili wataalamu wapo, vifaa vipo tunaweza kuzidiana na nchi zingine za Ulaya, lakini tatizo kubwa lililojitokeza ni wagonjwa kuungua sehemu kubwa za miili, wameungua asilimia 80, 90 hadi 100, lakini tunapigana na maisha ya binadamu, hatuwezi kuhukumu kwamba huyu hawezi kutibiwa kwa sababu hiyo iko nje ya maadili ya kidaktari'' amesema Dk Rwanyuma.

Ufafanuzi huo umetolewa leo Agosti 21, ambapo hadi leo idadi ya vifo vilivyotokana na ajali hiyo vimefikia 100, ambapo hospitali hiyo imesalia na wagonjwa 15 kati ya wale majeruhi 47 iliyokuwa imewapokea kutoka mkoani Morogoro.
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu