Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mume ashuhudia mkewe akiuawa

Jumatano , 16th Mei , 2018

Jeshi la Polisi katika wilaya ya Gomba nchini Uganda linachunguza tukio la kuuawa kwa mwanamke mjamzito aliyejulikana kwa jina la Amina Nabukeera (19) katika Kijiji cha Bakandula.

Akisimulia tukio hilo mume wa marehemu Bwana Arafat Kabuubi amesema tukio hilo limetokea jana Mei 15, 2018 muda wa saa mbili usiku wakati akiwa na mkewe wakielekea kununua mahitaji ya nyumbani

“Mimi na mke wangu tulikuwa tunaenda moja ya maeneo ya biashara muda wa saa mbili usiku kununua mahitaji ya nyumbani, nilikua nikitembea mbele yake kabla sijasikia purukushani nyuma yangu na nilipogeuka niliona mtu akimshumbulia mke wangu kwa kumpiga na nyundo kichwani, alimkata sikio la upande wa kulia pamoja na taya kwa kutumia panga kabla ya kukimbia. niliogopa sana na nilikosa nguvu za kumpigania mke wangu” amesema bwana Kabuubi

Bwana Kabuubi aliongeza kuwa alijaribu kupiga kelele za kuomba msaada lakini alikua tayari amechelewa kumuokoa mke wake ambae alifariki wakati akitafuta usafiri wa kumpeleka katika kituo kidogo cha afya.

Mkuu wa Polisi katika mkoa wa Katonga Kamanda Joseph Musana amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuomba wananchi kuwa watulivu wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa kumbaini mtuhumiwa.

Hilo ni tukio la pili kwa marehemu kushambuliwa ambapo mwezi Machi mwaka huu alishambuliwa akiwa nyumbani kwake lakini alipatiwa matibabu katika kituo kidogo cha afya.

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Gomba ukisubiri kufanyiwa uchunguzi wa kidaktari.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya