Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muuaji Kibiti auawa.

Jumatano , 13th Sep , 2017

Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam limempiga risasi na kumuua muhusika wa matukio ya mauaji mbali mbali yaliyotokea mkoani Pwani yakiwemo mauaji ya watu Kibiti, pamoja na wizi katika baadhi ya benki hapa nchini.

Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Kanda maalum jijini Dar es salaam Lazaro Mambosasa, amesema tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Kivule Chanika, ambapo polisi ilimjeruhi Annae Rashidi Kapela maarufu kwa jina la Abuu Mariam alipokuwa akijaribu kukimbia, na kufariki dunia akiwa njiani wakimpeleka hospitali.

"Askari walipojaribu kumsimamisha aligeuka na kuanza kukimbia, askari walifyatua risasi na kumpiga kwenye goti, alipokamatwa jambazi huyo alitaja mlolongo wa matukio yaliyowahi kuyatekeleza, jambazi huyo amekiri kushiriki kwenye tukio la askari walioawa pale Mbande CRDB, uvamizi wa NMB Mkuranga, Access bank Mbagala, kule Kibiti ambapo askari 8 waliuawa na silaha  kuchukuliwa", amesema Kamanda Mambosasa

Kamanda Mambosasa aliendelea kusema kwamba baada ya jambazi huyo kukamatwa alihojiwa na kutaja baadhi ya wahalifu anaosaidiana nao kwenye uhalifu, na baada ya kumaliza kumuhoji alichukuliwa kuwahishwa muhimbili na kufariki dunia akiwa njiani.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria