Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwapachu afuata nyayo za Kingunge, ang'oka CCM

Jumatano , 14th Oct , 2015

Kada wa siku nyingi wa chama cha Mapinduzi CCM,tangu mwaka 1967, Balozi Juma Mwapachu ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho kutokana na kile alichoeleza kuwa ni CCM kupoteza lengo la kuwa chama cha watu.

Kada wa siku nyingi wa chama cha Mapinduzi CCM,tangu mwaka 1967, Balozi Juma Mwapachu.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliyoitoa jana Jijini Dar es Salaam Balozi Mwapachu amesema dalili za CCM, kuwa chama cha viongozi wachache zilianza siku nyingi hasa katika kipindi cha uongozi wa Jakaya Kikwete.

Balozi Mwapachu amesema kuanzia hii leo amejivua uanachama rasimi na kuongeza kuwa amechagua siku ya leo kwa kuwa ndio siku mwafaka ambayo inahusu uanasiasa wake tangu mwaka 1967.

Amesema moja ya sababu nyingine zilizomfanya kuhama chama hcake hicho ni kutoakana na kukiukwa kwa mchakato wa uchaguzi wa uteuzi was urais mjini Dodoma na yeye alionyesha msimamo wake dhahiri kumuunga mkono Mh. Edward Lowassa.

Mwapachu ameongeza kuwa uamuzi wake wa kuumuunga mkono Lowassa sio wa kukurupuka bali ni kutokana na kumfahamu mgombea huyo ambae kwa sasa anagombea kupitia CHADEMA, tangu mwaka 1990 kutokana na mahusiano waliyokuwa nayo pamoja na majukumu ya kichama.

Amemsifu Lowassa kuwa amejaliwa nuru na uwezo wa kuongoza na kupendwa na watu na msikivu na ni kiongozi asiependa ukiritimba na utovu wa nidhamu iwe kwa upande wa watumishi au wananchi wenyewe.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa