Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwarobaini wa migogoro ya ardhi watua Dodoma.

Jumamosi , 24th Sep , 2022

Kamati ya kushughulikia migogoro ya ardhi iliyoundwa na Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Allan Kijazi itaendelea kutatua changamoto za ardhi katika mkoa wa Dodoma kuanzia siku ya jumatatu tarehe 26 hadi 30 Sept 2022.

Awali kamati hiyo ilisikiliza na kutatua changamoto za ardhi katika mkoa wa Dar es Salaam ambapo zaidi ya changamoto 150 za migogoro ya ardhi zilipatiwa ufumbuzi.

 

Maeneo ambayo kamati hiyo itasikiliza na kutatua changamoto za migogoro ya ardhi katika mkoa wa Dodoma ni Mkonze, Kikuyu Kaskazini na Kusini, Ipagala na Makole, Makulu na Iyumbu pamoja na maeneo ya Nzuguni, Mtumba na Kikombo.

 

Katibu Mkuu wa wizara ya Ardhi Dkt Allan Kijazi alisema, lengo la kuanzisha utaratibu huo wa kutatua changamoto za ardhi ni kupunguza migogoro ya ardhi inayolalamikiwa.

 

Hata hivyo, alisema kuwa, kamati hiyo itakayohusisha taasisi mbalimbali vikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama haitashughulika na migogoro ya ardhi ambayo kesi zake ziko mahakamani.

 

Kwa mujibu wa Dkt Kijazi, uzoefu unaonesha migogoro mingi ya ardhi inasababishwa na uelewa mdogo wa sheria pamoja na taratibu mbalimbali za umiliki jambo alilolieleza kuwa linasababisha wajanja wachache kutumia udhaifu huo kuwalaghai au kudhulukmu wananchi.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera