Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NCCR Mageuzi yadai kuvuna wanachama elfu 90

Alhamisi , 21st Mei , 2020

Chama cha NCCR Mageuzi kimewapokea wanachama takribani 90,000 kutoka vyama mbalimbali vya siasa katika mikoa ya Shinyanga na Mara, akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CHADEMA Jimbo la Shinyanga, ambao wamevihama vyama vyao.

Wanachama wapywa wa NCCR Mageuzi mkoani Shinyanga

Akizungumza na wanahabari Mjini Shinyanga baada ya kupokea wanachama wapya zaidi ya 12,000 kutoka Jimbo la Shinyanga, Mkuu wa Idara ya Uenezi wa NCCR Mageuzi nchini, Edward Simbeye amesema kuwa mkoa wa Mara una wanachama 48,000 na mkoa wa Shinyanga ukiwa na wanachama 42,000.

"Ukijumlisha kwa mikoa hii miwili tu, tuna wanachama 90,000, mkoa wa Mara tuna wanachama 48,000 na mkoa wa Shinyanga kwa mujibu wa mwakilishi wetu aliyekuwa akiendesha zoezi hili, tuna wanachama 42,000", amesema Simbeye.

Naye aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CHADEMA Jimbo la Shinyanga, Shigano Charles Mapema akitangaza kukihama chama hicho pamoja na mwenzake aliyewahi kuhudumu kitengo cha Operesheni ya Chadema ni Msingi, Majimbo ya Solwa, Kongwa na Temeke, Yunis Kanumba wamesema kuwa hawajaridhishwa na jinsi CHADEMA inavyowafanyia baadhi ya wabunge wake.

Baadaye Mkuu wa Idara ya Uenezi wa NCCR Mageuzi nchini, Edward Simbeye akaweka wazi msimamo wa chama chake kuwa kimejipanga kusimamisha mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa