Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEC vyombo vya habari hamasisheni kupiga kura

Jumanne , 18th Aug , 2020

Tume ya Taifa ya uchaguzi imesema ni muhimu kwa Vyombo vya habari kuhamasisha wananchi kujua kuhusu Elimu ya mpiga kura ili wawe na uwezo kuwapima wagombea Sambamba na kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura Oktoba 28,2020.

Akitoa Rai hiyo katika kikao Cha pamoja Kati ya Tume hiyo na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi Jaji mstaafu Semstocles Kaijage amekiri kuwa wanahabari Wana nguvu kubwa ya kuhamasisha kwa haraka zaidi hivyo kuwaomba kutumia vema karamu zao hasa katika kipindi hiki Cha kuelekea  uchaguzi Mkuu.

Hata hivyo amesema watahakikisha kuwa Kama Tume wanasimamia uchaguzi huu kwa kutoa fursa sawa ili kupitia Maadili yaliyofikiwa na wadau wa Uchaguzi yanafuatwa na kutoa nafasi kwa majimbo yote 264 na kata 3959 kwenye vituo vyote vyauchguzi  80,185 vinakamilisha zoezi kwa Amani.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa uchuguzi kutoka katika Tume Dkt Charles Mahera wakati akiwasilisha mada kwa wahariri amesema maboresho mengi yamefanyika huku tume ikitoa zaidi ya vibali 240 kwa asasi ili kuendelea kutoa Elimu ya mpiga Kura.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala