Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maelezo ya NIDA kuhusu namba za utambulisho Mil 6

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imesema kuwa hadi kufikia Januari 15, 2020, ilikuwa imekwishazalisha namba nyingi za utambulisho, ambazo kati ya hizo zaidi ya namba za utambulisho Milioni 6, bado hazijaweza kutumiwa kwa ajili ya usajili wa laini kwa kutumia alama ya vidole.

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Kwa mujibu wa taarifa ya NIDA iliyotolewa jana Januari 16, imewataka watanzania ambao tayari wamekwishapata namba hizo, wakasajili laini zao kabla ya 20 Januari mwaka huu ili wasije wakafungiwa laini zao.

Aidha katika kurahisisha upatikanaji wa namba hizo, NIDA imebuni njia mbalimbali ikiwemo kupeleka namba hizo katika ngazi za Kata na Vijiji, pamoja na kutuma ujumbe mfupi wa simu kwenda namba 15096, ambapo mwombaji anapaswa kuandika majina yake la kwanza na la mwisho, na jina la kwanza na la mwisho la Mama yake.

Hadi kufikia leo Januari 17, 2020, zimesalia siku tatu pekee zitakazopelekea baadhi ya watanzania, ambao hawajaweza kupata namba za utambulisho kukosa mawasiliano ya simu, kwani laini zao zitafungiwa.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala