Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Niwe Mbunge, nipeleka shida kwa RC?" - Hapi

Jumatatu , 13th Jul , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema kuwa hana mpango wa kugombea Ubunge, kwani akiwa Mbunge itamulazimu kupeleka shida za wananchi wake kwa Mkuu wa Mkoa ili amtatulie, kitendo ambacho hayuko tayari kukifanya.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi.

Hapi ametoa kauli hiyo hivi karibuni, wakati akifanya mahojiano maalum na EATV na kusema kuwa mara nyingi amekuwa akitajwa na watu kwamba atagombea Ubunge, na kusema kuwa dhamana aliyopewa na Mungu kupitia Rais Magufuli ni kubwa, hivyo anao wajibu wa kuendelea kuwatumikia wananchi.

"Sioni kama kukimbilia kwenye Ubunge ni uamuzi sahihi sana, Mimi nina Wabunge 11, wakiwa na shida wanakuja kwangu, sasa mimi ninapokimbia Ukuu wa Mkoa niende kwenye Ubunge ili na mimi niwe napeleka shida kwa RC ni kitu ambacho kidogo hakiingii akilini, wananchi waendelee kuniombea na wawe na subra huko mbeleni Mungu akijalia na umri ukiwa umesogea tunaweza kwenda eneo hilo" amesema Hapi.

Aidha Hapi amewataka wanasiasa kuwa na heshima badala ya kuendelea kulaumu kwa kila kitu na kufuata sheria na taratibu hususani katika masuala ya ufanyaji wa mikutano.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani