Mkuu wa Mkoa wa Njombe - Christopher Olesendeka
Olesendeka amesema katika kipindichake cha uongozi atazingatia zaidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuhakikisha maendeleo yanasonga mbele.
Nao watumishi wa mkoa wa Njombe wamesema wataendelea kuchapa kazi pamoja na mkuu wa mkoa huyo huku wakimtakia kila la heri mkuu wa mkoa wa Singida.
Msikilize hapa
Sauti ya Christopher Ole Sendeka
Sauti za wananchi Njombe