Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prof. Kitila Mkumbo kuhusu kugombea Ubunge

Ijumaa , 12th Jul , 2019

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo amezungumzia suala la kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2020.

Akizungumza na EA Radio, Prof. Mkumbo amesema kuwa kwa sasa anatekeleza majukumu aliyokabidhiwa na Rais Magufuli kuhakikisha kuwa maji yanatoka maeneo mbalimbali nchini na ikifika wakati husika ataamua endapo atagombea ama vinginevyo.

"Suala la Ubunge kwa sasa bado, ninachapa kwanza kazi aliyonikabidhi Rais Magufuli. Imebaki miezi 12 ya kujua hatma na maamuzi ya endapo nitagombea ama vinginevyo", amesema Prof. Mkumbo.

Pia amezungumzia juu ya kero sugu za maji zinazosumbua maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam kama Gongo la mboto, Chanika, Goba na maeneo mengine ambayo miradi haijakamilika, ambapo amesema mchakato wa kukamilisha miradi hiyo unakwenda kwa kasi na ndani ya miezi 12 ijayo wananchi wataanza kutumia maji.

"Wananchi wa Dar es salaam na maeneo mengine nchini wasiwe na wasiwasi, serikali inaendelea kutekeleza ilani ya CCM kwa ufanisi, mpaka kufikia April mwaka huu tumeweza kuwasambazia maji wanannchi kwa asilimia 65 na malengo yetu mpaka mwisho wa 2020/21 tutakuwa tumewafikia wananchi kwa asilimia 85", ameongeza.

Profesa Kitila Mkumbo alikuwa mshauri wa Chama cha ACT-wazalendo kabla ya kuteuliwa na Rais Magufuli, April 04, 2017 kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ambayo bado anahudumu mpaka sasa.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya