Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli ala kiapo na kutoa ahadi

Alhamisi , 5th Nov , 2020

Rais mteule Dkt John Pombe Magufuli ameapishwa rasmi  kuwa Rais  wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania huku akiapa na kuahidi kuwatendea haki watu wote.

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji mkuu wa Tanzania.

Magufuli  ameapishwa leo Novemba 5, jijini Dodoma pamoja na Makamu wake Samia Suluhu katika Uwanja wa Jamhuri na sherehe hiyo imehudhuriwa na Viongozi  kutoka nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Uganda ,Yoweri Museveni.

Katika kiapo chake , Rais Magufuli ameapa kuitetea, kuilinda na kuhifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kuahidi kutumika kwa uaminifu katika kazi zake za urais

Sherehe hii ya uapisho wa Rais Magufuli inampa tena nafasi nyingine ya kuiongoza Tanzania kwa muhula mwingine tena 2020- 2025 mara baada ya kupata ridhaa kwa watanzania.

Rais Magufuli alitangazwa kuwa Rais wa mteule wa Tanzania Oktoba 30 na Tume ya Taifa ya Uchaguzi mara baada ya kuongoza kwa kura 12, 516, 252 dhidi ya wapinzani wake 14.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala