Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli amgeukia IGP Sirro

Jumatatu , 15th Jul , 2019

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 15, amezindua nyumba takribani 20 za Askari Polisi, eneo la Magogo Mkoani Geita, na kumtaka Kamanda wa Polisi nchini, IGP Simon Sirro kuwa mkali zaidi.

Rais Magufuli na IGP, Simon Sirro

Rais Magufuli amesema kuwa kuna mambo mengi si ya kiuadilifu bado yanaendelea katika jeshi hilo ambayo yanahitaji kushughulikiwa huku pia akimpomgeza IGP kwa hatua za kinidhamu anazochukua kwa askari ambao sio waadilifu, ambapo kwa kipindi cha mwezi Januari hadi June
2019, jumla ya Askari 54 wamefukuzwa kazi.

''Endelea kuwa mkali ili kuimarisha nidhamu katika jeshi, ukweli ukitaka kazi ziende vizuri kufukuza kupo, wapo watu wanaobambikiza kesi, wapo maaskari wanaohusika katika ujambazi lakini hawa ni wachache sana'', amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli akimjibu IGP Sirro, juu ya nyumba hizo za maaskari kupewa jina lake, Rais Magufuli akamgeuzia kibao IGP, ambapo amesema, "IGP umeomba hii Barracks iitwe jina langu, ila mimi nataka iitwe Sirro Barrack, ili uisimamie vizuri na ujenzi ukishindwa kukamilika aibu ibaki kwako''.

Pia Rais Magufuli ameendelea kusisitiza amani, na kuwataka viongozi mbalimbali kuendelea kuitunza na kuilinda amani ya nchi iliyopo.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria