Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli asababisha maandamano Iringa

Jumamosi , 12th Jan , 2019

Wafanyakazi Mkoani Irtinga wamelazimika kufanya maandamano maalum ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli juu ya maamuzi yake uamuzi wake kurudisha matumizi ya kanuni za kikokotoo cha zamani.

Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Hivi karibuni Rais Magufuli aliagiza kuanza kutumika tena kwa kanuni za zamani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kufuatia kuibuka kwa sintofahamu, kwa wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini.

Akizungumza wakati akipokea maandamano hayo Mkuu wa Mkoa Iringa, Ally Hapi amesema, "zawadi pekee ya kumpa Rais Dkt John Pombe Magufuli, ni kuendelea kutoa ushirikiano kwake kwa kumpongeza kwa kazi nzuri, na mimi Mkuu wenu wa Mkoa nasema sitasafiri kwenda nje nitakaa hapa hapa kufanya kazi".

"Nataka kutoa agizo kwa watendaji wote serikalini marufuku kunyanyasa wafanyakazi ama kumtoa mfanyakazi kwa hila, hataondolewa mtumishi popote bila mimi mkuu wa mkoa kujiridhisha, pia sitakubali kuona dokezo la mtu linakaliwa ili kuomba rushwa" ameongeza Hapi

Katika maandamano hayo pia wakuu mbalimbali wa wilaya akiwemo wa Iringa Mjini, Richard Kasesela pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Asia Abdallah nao walishiriki ili kumpongeza Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala