Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na Mhe. Job Ndugai
Rais Samia amekutana na Mheshimiwa Ndugai, zikiwa zimepita siku 6 tu tangu aandike barua yake ya kujiuzulu kwa hiari yake mwenyewe nafasi ya Uspika wa Bunge, huku akisema ameamua kufanya hivyo ili kulinda maslahi mapana ya Taifa, serikali na chama chake.