Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Utenguzi wa Bw. Thobias umekuja muda mchache baada ya kuteuliwa Aprili 4, 2021.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Gerson Msigwa imeeleza kuwa Rais Mhe. Samia Suluhu amemrejesha Dk. James Mataragio kuendelea na majukumu.