Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa Burundi amhakikishia Magufuli ushindi

Jumamosi , 19th Sep , 2020

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amempongea Rais Magufuli kwa utendaji kazi wake kwa kuwa ameibadilisha Tanzania kwa kiasi kikubwa, na kwamba anao uhakika kama wananchi watamchagua tena na atapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao.

Kushoto ni Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Ndayishimiye ametoa kauli hiyo hii leo Septemba 19, 2020, wakati akizungumza na wananchi wa Kigoma ikiwa ni ziara yake ya kwanza nchini tangu alipoapishwa rasmi kuwa Rais wa Burundi na kueleza kuwa warundi wengi wanatamani kumpigia kura Magufuli

"Umebadilisha nchi ya Tanzania na Kigoma na mimi hadi nimeshangaa nakupongeza sana, nakupa pole najua uchovu wa kampeni, lakini najua ninao uhakika kwamba wewe kuwa na wananchi wa Tanzania ni kama Baba na watoto, nina uhakika kwamba utashinda uchaguzi, na warundi wote wanasema, ningekuwepo ningechagua Dkt Magufuli", amesema Rais Ndayishimiye.

Mbali na hayo Rais Ndayishimiye akazungumzia masuala ya usalama nchini humo kwa sasa, "Burundi sasa hivi hali ya usalama ni shwari, siyo kama zamani warundi wote tumekaa pamoja na kuzungumza na tukagundua kwamba Burundi hatuna kabila la Kihutu na Kitusi, tukagundua wazungu walitugawa tu, ndiyo sababu tumekwishajiunga hatutarudi tena kwenye machafuko ya zamani".

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera