Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Shinyanga atangaza kukagua watu wanaooana

Alhamisi , 12th Dec , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack, amekiri kuwepo kwa baadhi ya wanawake mkoani kwake kuogeshwa dawa ili kuvutia wanaume katika mahusiano, huku akitangaza kufanya ukaguzi wa Ndoa zinazofanyika mkoani humo kwa ajili ya kuzuia ndoa za utotoni hasa kwa wanafunzi.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.

RC Telack ameyabainisha hayo leo Desemba 12, 2019, wakati akizungumza na kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 asubuhi.

"Ni kweli kuna watoto wanaogeshwa dawa, hii ni mila potofu ila niseme tunachopambania kwa sasa ni kuhakikisha tunamaliza suala la utoro shuleni, na  tumewaonya wazazi yeyote ambaye atajihusisha na vitendo visivyo halali kwa mtoto wa kike, atachukuliwa hatua za kisheria" amesema Telack.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ameongeza kuwa "Ndoa zote zinazofungwa kwenye Mkoa tunapeleka watu kujua nani anaolewa, kwa sababu kulikuwa na ongezeko la mimba za wanafunzi na walipoona hivyo wakaamua kubadilisha jina kutoka Ndoa na kuita mzunguko kwa hiyo tunahakikisha tunapeleka watu wetu kwenye hizo sherehe"

HABARI ZAIDI

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera