Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti ya LHRC yaitaja Kanda ya Ziwa kuwa kinara

Jumanne , 20th Aug , 2019

Ripoti ya nusu mwaka ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), inayobainisha hali ya haki za binadamu nchini, imezinduliwa leo Agosti 20, ambapo imeonyesha kuwepo kwa ushamiri wa hali ya ukatili dhidi ya watoto wadogo.

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC Anna Henga

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC Anna Henga, amesema ripoti hiyo ilijikita katika makundi matatu ikiwemo Haki za kiraia na kisiasa, Haki za kijamii pamoja na Haki za makundi maalumu wakiwemo Watoto, Wanawake na watu wenye ulemavu.

''Kwanza kumeendelea kushamiri kwa hali ya ukatili kwa watoto, hasahasa ukatili wa kingono, ubakaji, ulawiti na ukatili wa kimwili dhidi ya watoto, kanda inayoongoza ni Kanda ya Ziwa kwa asilimia 38, ikifuatiwa na kanda ya nyanda za juu Kusini asilimia  32, Pwani asimia 9, Kaskazini asilimia 9, kanda ya kati asilimia 7 na Kanda ya Magharibi  asilimia 5'' amesema Mkurugenzi Mtendaji LHRC.

Ripoti hiyo pia imeeleza kuwa, licha ya kupungua kwa kiasi kidogo kwa mauaji yanayotokana na imani za kishirikina na kujichukulia sheria mkononi lakini bado hofu imetanda kwa watu wenye Ualbino hasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu.

''Kumekuwa na kuongezeka kwa hofu miongoni mwa watu wenye Ualbino hasa wakati huu Tanzania inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, sababu kihistoria mwaka wa kuelekea uchaguzi mkuu wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya ukatili'' Anna Henga LHRC.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya