Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RPC Arusha akanusha vifo vya watu nane

Jumatatu , 22nd Apr , 2019

Siku moja baada ya kuenea kwa taarifa katika mitandao ya kijamii juu ya ajali iliyohusisha magari madogo mawiii katika eneo la Oldonyosambu jijini Arusha Kamanda wa Polisi mkoani humo amekanusha taarifa ya vifo vya watu nane na kueleza kwamba vifo vilivyotokea ni vya watu wawili.

Pichani magari yaliyogongana jana.

Akiwa katika eneo la tukio Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani humo, Jonathan Shana amesema kuwa, jijini humo hakukuwa na mashindano yoyote ya magari kama ilivyo ripotiwa awali na watu waliopoteza maisha mpaka sasa ni watu wawili tu na si watu nane kama ilivyo ripotiwa awali.
 
"Tukio hili lilionekana kupotoshwa kwa kiasi fulani, taarifa zilizotolewa mitandaoni hazikuwa sahihi. Hakukuwa na mashindano ya magari na waliofariki ni watu wawili tu sio nane", amesema Kamanda Shana. 

Ajali hiyo  iliyo tokea jana Aprili 21, majira ya saa kumi jioni na kuhusisha magari mawili moja kutoka nchi jirani ya Kenya inatajwa kusababishwa na uzembe wa dereva wa gari lililokuwa katika mwendo mkali huku likijaribu kulipita gari jingine lililokuwa likikata kona bila kuchukua tahadhari ya kutosha.

Samwei Theith ni daktari wa magonjwa ya dharura katika hospitali ya Seliani ya jijini humo baadhi ya majeruhi wametibiwa na kuruhusiwa huku wengine wakiendelea na matibabu.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita