Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'RPC nampangia mshahara, nitamuingilia sana' -Lema

Jumanne , 18th Feb , 2020

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, kuingilia kati suala la kuwakamata wale waliosambaza video zinazoonesha ubovu wa miundombinu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kuwa hawana hatia yoyote.

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.

Lema ameyabainisha hayo leo Februari 18, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital na kusema kuwa kitendo cha RPC Arusha kumpa onyo kwamba asiingilie suala hilo, kimemshangaza na yeye hatoacha kumuingilia hususani kipindi hiki cha uchaguzi.

"RPC hanipangii, mimi majukumu yangu yameainishwa kwenye katiba ndio maana mimi nampangia hata mshahara wake, kwahiyo nitaendelea kumpangia na kumuingilia, wajibu wa Mbunge ni kupigania haki za watu wanaoonewa na asichukue hatua yoyote kwa waliosambaza hiyo video najua IGP na Waziri Simbachawene wananisikia, nadhani watakuwa wamempa maelekezo" amesema Mbunge Lema.

Jana Februari 17, 2020, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathana Shana, alimpa onyo Lema, kutoingilia kazi za jeshi na kwamba lazima atatekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa huo la kuwasaka na kuwakamata wale wote waliohusika kusambaza video hizo, kwani hawakuwa na nia njema na uchumi wa nchi.
 

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya