
Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya
Sabaya na wenzake walikata rufaa kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 30 iliyotolewa na Mahakama hiyo Oktoba 2021.
Mbali na Sabaya wengine waliokuwa wamehukumiwa miaka hiyo 30 ni Sylivester Nyegu na Daniel Mbura.