Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sakata la CAG, Spika atakiwa kujishusha

Jumatatu , 15th Apr , 2019

Umoja wa vyama nane vya upinzani nchini umemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kuumaliza mgogoro baina ya Bunge na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali nchini CAG, Prof Mussa Assad kwa kumtaka kukubali kujishusha.

Spika Ndugai

Kauli hiyo imetolewa na kiongozi wa Chama cha UPDP, Fahami Dovutwa wakati viongozi hao wakitoa msimamo wa pamoja juu ya masuala mbalimbali yanayotokea nchini.

Dovutwa amesema kuwa, "mambo kama haya madogodogo Spika baada ya kuona ushauri wake hausikilizwi angeshuka tu, ndiyo spiriti ya Watanzania. Viongozi wengi wanapoona jambo lao halisikilizwi huwa wanashuka, nimtake CAG asimame na msimamo wake upinzani tuko pamoja naye."

"Leo amemkataa CAG, kesho akiwa na shauri mahakamani anaweza kuleta hoja ya kumkataa Jaji Mkuu, kesho kutwa atamkataa IGP, mwishowe ataleta hoja ya kumkataa Mkuu wa Majeshi, sasa Taifa litaendaje kwenye masuala kama hayo." ameongeza Dovutwa.

Mgogoro baina ya Spika Ndugai na CAG Prof Assad umedumu kwa muda mrefu hivi sasa kufuatia kauli ya CAG aliyoitoa akiwa nje ya nchi ya kuwa Bunge ni 'dhaifu'.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani