Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sakata la waandishi,CHADEMA yanena Uhamiaji yajibu

Alhamisi , 8th Nov , 2018

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimejitokeza juu ya kushikiliwa kwa waandishi wa habari wawili ambao ni Raia wa kigeni na wanaharakati wa kamati maalum ya kuwalinda wanahabari Duniani CPJ.

Mkurugenzi wa Itifaki na mambo ya nje wa CHADEMA, John Mrema, Mrakibu wa Polisi, Msemaji Idara ya Uhamiaji, Ally Mtanda.

Waandishi hao waliokamatwa ni Mkuu wa kamati ya Afrika, Angela Quintalna Muthoki Mumo ambaye ni mwakilishi wa kamati hiyo ya Afrika mashariki.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Itifaki na mambo ya nje wa CHADEMA, John Mrema ameitaka idara ya uhamiaji nchini kurejesha Passport zao ili kuwapa nafasi waandishi hao wa kigeni kufanya kazi kwa uhuru.

"tunaitaka idara ya uamiaji ituambie imetumia sheria gani kuwakamata waandishi hao wa kigeni, pia tunaitaka serikali iseme kwa uwazi nani alitoa amri ya kukamatwa kwa waandishi hawa, na mwisho iboreshe maisha ya kufanyia kazi kwa waandishi wa habari."

Mapema jana ilielezwa kuwa Maafisa waliojitambulisha kuwa wanatoka Idara ya Uhamiaji, waliwakamata viongozi wao katika Hoteli waliyofikia jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Jijini Dar es salaam, Mrakibu wa Polisi, Msemaji Idara ya Uhamiaji, Ally Mtanda amesema waliwashikilia waandishi hao wawili na leo hii wamerejeshewa pasipoti zao.

"Ni kweli tuliwashikilia kwa muda, tulifanya mahojiano nao, tulizikamata paspoti zao na sasa tumewarejeshea. Tumewaelekeza wafuate taratibu lakini tumewakabidhi pasipoti mbele ya ubalozi wao," amesema Ally Mtanda.
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi