Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia asisitiza uzalendo kwenye Skauti

Jumatano , 26th Jul , 2017

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amewataka vijana wa skauti nchini kutumia mafunzo wanayopata ndani ya chama hicho vizuri kwani ni nguzo bora katika ustawi wa jamii isiyojihusisha na ufisadi wala dawa za kulevya.

Samia amesema hayo wakati akifungua maadhimisho ya miaka 100 ya skauti Tanzania yaliyofanyika kitaifa mjini Dodoma na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 28 mwaka huu.

Amesema kwa sasa Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya mmong'onyoko wa maadili hivyo ni wajibu wa vijana hao kuhakikisha wanaisaidia jamii inayowazunguka ili kujenga Tanzania yenye vijana wazalendo na wachapakazi.

"Nakusudia kusema tukilelewa vizuri ndani ya skauti baadae hatuwezi kuwa na viongozi wasaliti, wavivu, wala rushwa wazembe au wezi kwa sababu chama cha skauti kilijikita kwenye makuzi ya vijana, ujasiri na uzalendo na ukakamavu" Mh. Samia

Hata hivyo Samia amewataka Wakuu wa Wilaya na Maafisa Ardhi kote nchini kuhakikisha wanatenga maeneo ambayo vijana hao watafanya shughuli za uzalishaji kama kilimo na mifugo ili kuwashawishi wananchi wanaowazunguka.

Kwa upande wake Rais wa skauti Tanzania ambaye pia ni Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Joyce Ndalichako amewataka vijana waliopo mashuleni na vyuoni kujiunga na vilabu vinavyoanzishwa mashuleni na kufanya kazi baada ya masomo ili kujiepusha na vishawishi hasa matumizi ya dawa za kulevya.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria