Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sekta binafsi ina nafasi ya kuikwamua nchi-Mahiza

Ijumaa , 19th Dec , 2014

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi. Mwantumu Mahiza amesema Sekta binafsi ina nafasi kubwa katika kuikwamua nchi kutoka katika umaskini.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi. Mwantumu Mahiza

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi. Mwantumu Mahiza ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) iliyoandaliwa kumpongeza kwa kuongoza vema kundi la wafanyabiashara waliokuwa katika msafara wa Rais Jakaya Kikwete nchini China hivi karibuni.

Amesema Viongozi wa serikali kuandamana na wafanyabiashara nje ya nchi ni muhimu, na hivyo ameitaka TPSF kuwapanga kisekta wafanyabishara wanaokuwa katika misafara hiyo, ili kupata manufaa zaidi wao na nchi kwa ujumla.

Wakati wa ziara hiyo Bi. Mahiza ambaye alikuwa mkuu wa mkoa wa Pwani kabla ya kuhamishiwa Lindi, alitia saini mkataba wa ushirikiano baina ya wafanyabiashara wa China na Tanzania.

Mapema akimkaribisha katika hafla hiyo Mwenyekiti wa TPSF Dk. Reginald Mengi alimpongeza mkuu huyo wa mkoa kwa kuwaongoza vizuri wafanyabiashara wakati wa ziara hiyo ya Rais nchini China, na kumkabidhi hati maalum ya shukrani kwa kazi kubwa aliyoifanya.

Aidha Baadhi ya wafanyabiashara waliokuwepo walizungumzia walichojifunza katika ziara hiyo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi