Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuwapima vilevi wafanyakazi

Jumamosi , 13th Oct , 2018

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, amesema serikali haitaendelea kuvumilia kuona watu wanakufa kutokana na ajali zinazotokana na makosa ya kibinadamu ikiwemo ulevi na imekuja na mpango wa kuwapima vilevi madereva.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe.

Akiongea leo jijini Dar es salaam, wakati wa kukabidhi vifaa vya kupima vilevi kwa wasimamizi na waendeshaji wa Treni, TRC na TAZARA,  waziri Kamwelwe amesema madereva watapimwa kiwango cha vilevi ili kujiridhisha kama hawajatumia.

''Kwa kutumia vifaa hivi tutaweza kubaini viwango vya vilevi kwa wafanyakazi hawa, mwanzo wa safari, katikati na mwisho wa safari. Nimatumaini ya serikali kwa kutumia vipimo hivi idadi ya ajali zinazotokana na makosa ya binadamu zitapungua'', amesema Waziri.

Mbali na hilo Waziri Kamwelwe amewataka viongozi wa vyama vya wafanyakazi nchini kutotetea tu wafanyakazi bila kutazama kosa alilofanya.

''Msitetee tu kwasababu ni wanachama wenu, unakuta anakosa au hajafika kazini wewe huchukui hatua ila mwajiri wake akichukua hatua wewe unakuwa wa kwanza kumtetea'', amesongeza.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani