Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa neno kuhusu wastaafu

Jumanne , 16th Apr , 2019

Naibu Waziri wa Sera Bunge Kazi, na ajira, Anthony Mavunde amesema mpaka kufikia Februari 28, 2019 Serikali ilishwalipa wastaafu 9971 waliokuwa wanachama wa mfuko wa hifadhi ya jamii wa PSPF ambao wamelipwa zaidi ya shilingi bilioni 888.

Naibu Waziri Mavunde ametoa kauli hiyo wakati akijibu swali kwa niaba ya Waziri Mkuu ambalo liliulizwa na Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga ambapo alihoji juu ya hatma ya wastaafu.

Mbunge Haonga ameuliza kuwa, "watumishi wa Halmashauri nyingi waliokuwa wanachama wa PSPF, wamestaafu kwa zaidi ya mwaka 1, hawajalipwa pesa zao, lini Serikali itawalipa?".

Akijibu swali hilo, Mavunde amesema, "mpaka Februari 28, 2019 mfuko mpya wa PSSF ulikamilisha malipo ya wastaafu waliorithiwa PSPF jumla yao ni 9971 na wamelipwa Bil.888, mfumo wa ulipaji wa mafao ndani ya Mkoa umekamilika, na utafanya mfuko kulipa ndani ya muda wa kisheria."

Kwa sasa Bunge la bajeti linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri wameenda kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka fedha 2019/2020.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera