Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sumaye aendelea kumsafisha Lowassa mikoani

Jumanne , 1st Sep , 2015

WAZIRI mkuu mstaafu Fredrick Sumaye amesema kuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) waziri wa zamani Edward Lowassa hakuwa na kosa wakati wa Richmond alijitoa kafara kwaajili ya nchi na ndio maana hakufukuzwa kazi.

Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye akiwana mgombea urais kupitia Chadema,Edward Lowassa

Sumaye ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa mkoa wa Njombe katika mkutano wa kumnadi mgombea urais kupitia UKAWA Mkoani Njombe alisema kuwa Lowassa hakuwa na kosa na ndio maana aliamua kujiondoa mwenyewe na kuwa ndio maana hakufukuzwa.

Amesema kuwa kama Lowassa alikuwa ana kosa angefukuzwa wakati uleule na angechukuliwa hatia kipindi kile na kuwa alijiondoa kwa kulinda heshima ya Rais.

Lowassa aliamua kujitoa kama kondoo wa Kafara hakuwa na kosa na kama wakija CCM wawaulize baada ya hapo walifanya nini na hawataweza kudhibiti rushwa kwa kuwa Escrow walishindwa.

Amesema kuwa wananchi hawata pata umeme vijijini cha zaidi wanapewa adhabu ya kupandishiwa mafuta kwa kuwaogopa matajili wenye vituo vya mafuta.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea