Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAMWA yataka kuwekwa sheria kali uchaguzi mkuu

Jumatano , 12th Aug , 2020

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini (TAMWA) kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuweka sheria kali kwa makundi na viongozi ambao wanatumia nafasi zao kuwadhalilisha na kubana nafasi ya wanawake kushiriki katika uchaguzi mkuu.

Mkurugenzi wa Tamwa Rose Ruben akizungumza na vyombo vya habari

Hadi kufikia leo tamko hili likitolewa na Mkurugenzi wa Tamwa Rose Rubean takwimu zinaonyesha ni wanawake wawili tu ambao wamejitokeza kugombea nafasi ya juu ya urais pia wanawake watano wakitambulishwa kuwania nafasi ya umakamu wa urais, hii ikionyesha ushiriki mdogo sana wa wanawake kujitokeza hali inayopelekea kuziweka bayana changamoto zinawakabili wanawake.

Aidha, imeelezwa kuwa lugha za kudhalilisha kwa wanawake hasa katika kipindi cha uchaguzi huwadhoofisha sana wanawake huku wakizitaka mamlaka husika kudhibiti vitendo vya rushwa ya pesa na ngono kwa kuwa huleta adha kubwa kwa jamii.

Rose ameziomba pia jumuiya mbalimbali za wanawake kwenye vyama vya siasa kuhakikisha uwazi unakuwepo pamoja na uthubutu wa wanawake kuzidi kujitokeza zaidi katika kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28.

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross