Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Tanzania hapana tena kuchezewa' - Magufuli

Alhamisi , 10th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewataka askari wa wanyamapori kuzingatia maadili ya kazi yao ili kulinda rasilimali za nchi, huku akisisitiza wale wachache wanaoshirikiana na majangili, wafikishwe mahakamani kwa kesi ya uhujumu uchumi.

Rais Magufuli akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya TANAPA Jenerali Mstaafu George Waitara (kulia).

Rais ameyasema hayo kwenye ziara yake mkoani Katavi alipotembelea hifadhi ya Katavi na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika hapo pamoja na wanyama waliopo hapo.

'Fanyeni kazi, nyie ndio walinzi wa maliasili zetu, Tanzania sio ya kuchezewa tena, wapo wachache wanaoshirikiana na majambazi, wakipatikana wa namna hiyo wapelekeni mahakamani kwenye uhujumu uchumi na kesi iwe kubwa kabisa', amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amesisitiza kuwa ili kuleta ufanisi katika ulinzi wa rasilimali za nchi ndio maana akamteua Jenerali Mstaafu George Waitara kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANAPA.

'Hapakuwa na sababu ya kumteua mwanajeshi, huyu ni jenerali, amekuwa mkuu wa majeshi nchi nzima na ndio maana tukaanzisha jeshi Usu la kukabiliana na ujangili, kwahiyo fanyeni kazi', ameeleza Rais.
 

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera