
Tanzania ilipata watalii wa nje 900,000 kwa mwaka 2021.
Tanzania inashika nafasi ya pili kwa idadi ya watalii laki 9, nyuma ya Afrika Kusini iliyokuwa na watalii millioni 2.3 kwa mwaka 2021.
1. Afrika Kusini - 2,300,000
2. Tanzania - 900,000
3. Ethiopia - 500,000
4. Reunion - 300,000
5. Eswatini - 200,000
6. Visiwa vya Shelisheli - 200,000
7. Mauritius - 200,000