Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TCRA yatakiwa kutoa mwongozo wa kuelekea uchaguzi

Alhamisi , 4th Dec , 2014

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetakiwa kutoa mwongozo kwa makampuni ya simu wakati huu nchi inapoelekea kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani

Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia Prof Makame Mbarawa

Vyombo vya habari na makampuni ya simu nchini vimetakiwa kuelimisha wananchi ipasavyo juu ya sheria na taratibu za uchaguzi wakati huu nchi inapoelekea kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani huku Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA ikitakiwa kutoa mwongozo kwa makampuni ya simu.

Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia Prof Makame Mbarawa ametoa wito huo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa kimataifa wa umoja wa mawasiliano Afrika ambapo amesema mchakato wa kutoka kwenye analojia kuingia dijitali haikuwa kazi rahisi kwani baadhi ya wadau walipinga mfumo huo kwa madai kuwa ni mapema huku akimpongeza mwenyekiti wa MOAT Dk Reginald Mengi kwa ushirikiano alioutoa kipindi chote hicho.

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA Prof John Nkoma akizungumza katika mkutano huo amesema mkongo wa taifa uliougharimu serikali dola za kimarekani milioni 200 bado haujatumika ipasavyo katika sekta ya utangazaji na kuongeza kuwa mkongo huo pia unategemewa na nchi za Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia na Malawi.

Mkutano huo umehudhuriwa pia na mwenyekiti wa bodi ya TCRA Bw Salimin Senga ambaye amesema Tanzania ni kubwa, hivyo sekta ya mawasiliano inakabiliwa na changamoto ya namna ya kufika kila kona ya nchi na kwamba mipango ni hatua moja lakini tatizo liko kwenye utekelezaji.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani