Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tembo waanza kufukuzwa kwa Helikopta

Jumapili , 4th Dec , 2022

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na utalii, pamoja na vyombo vinavyojihusisha na wanyamapori na uhifadhi nchini, wameanza zoezi la kuwafukuza Tembo kutoka maeneo ya karibu na makazi ya wananchi na kuwaswaga kuelekea maeneo ya mbugani ili wananchi wawe salama.

Makundi ya Tembo yanayofukuzwa

Zoezi la kuwaswaga Tembo hao kwa kutumia Helikopta limefanyika katika wilaya ya Liwale kutokea wilayani Nachingwea, zoezi linalotajwa kuleta tija baada ya kukamilika, huku baadhi ya wanyama wakifungwa GPS kitaalamu ili wahifadhi waweze kutambua muelekeo wao usiweze kuathiri binadamu.

Nao wananchi wanaeleza namna changamoto ya Tembo ilivyowaathiri, huku wakipongeza zoezi hilo na kuomba lifanikiwe kwani kwa sasa wanashindwa kufanya shughuli zozote za uzalishaji kwa kuwahofia wanyama hao.

Hatua hiyo inakuja kufuatia agizo lililotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya kupata malalamiko mengi ya wananchi juu ya athari ya wanyama hao.

Wataalamu wanasema, eneo kubwa la hifadhi limeharibiwa na wakulima pamoja na wafugaji waliotia nanga katika misitu minene ambayo sasa inakaribia kuwa jangwa, hivyo ili zoezi la kuwaswaga Tembo hao lifanikiwe kwa asilimia kubwa na wanyama hao wasirudi kwenye makazi ya watu, lazima wizara zinazohusika zichangie kuwaondoa wakulima na wafugaji hao katika eneo la Hifadhi.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita