Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFDA Arusha yateketeza vipodozi vyenye sumu

Jumatatu , 4th Jan , 2016

Mamlaka ya dawa na chakula kanda ya kaskazini imeteketeza vipodozi vilivyopigwa marufuku kuingia nchini vyenye thamani ya shilingi milioni 34 na laki tisa baada ya kuvikamata katika mpaka wa Namanga mkaoni Arusha.

Vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiteketezwa na Mamlaka ya dawa na Chakula (TFDA).

Meneja wa TFDA kanda ya kaskazini Bw. Damas Matiko amesema kuwa mapema mwaka jana maafisa wa mamlaka hiyo wakishrikiana na maafisa wa mamlaka ya mapato nchini TRA walikamata gari la kampuni ya parfect trans ikiwa na shehena hizo za dawa.

Aidha Bw. Matiko ameongeza kuwa bidhaa hizo zilikua na viambata vya sumu ambazo huleta madhara kwa watumiaji a mara nyingine hata vizazi vijavyo.

Hata hivyo uingizwaji wa bidhaa hizo umeanishwa na ukwepaji wa kodi ambapo kaimu afisa forodha wa mpaka wa Namanga Aminieli Malisa amesema kuwa amesema wamejiimarisha katika kusimamia uingizwaji wa biadhaa hizo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani