Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Thailand na Tanzania kuzalisha umeme jua Zanzibar

Jumatatu , 28th Mar , 2016

Taasisi ya kibiashara toka nchini Thailand kwa Ushirikiano na Tanzania wametiliana saini ya Mkataba wa uzalishaji wa Umeme Jua mega wat 10 wenye thamani ya zaidi ya Dola za Kimarekani milioni 7.

Rais wa Taasisi za kibiashara toka nchini Tanzania Hamad Rashid Mohammed .

Akizungumzia kuhusu mradi huo ambao unatarajiwa kuanza Zanzibar katika kipindi cha miezi sita baada ya kufanya utafiti , Rais wa Taasisi za kibiashara toka nchini Tanzania Hamad Rashid Mohammed amesema lengo la kuanzisha maradi huo ni kutaka kuwapunguzia wananchi makali ya maisha hasa katika upatikanaji wa umeme nchini.

Hamad Rashid amesema teknolojia hiyo ambayo inamuwezesha mwananchi kutumia taa ambazo zinawaka zenyewe kwa muda wa masaa matano hata kama umeme umekatika zitarahisisha wananchi wengi kuweza kuzimudu visiwani humo.

Rais huyo wa Taasisi za Kibiashara ameongeza kuwa visiwa vya Zanzibar asilimia 90 ya wakazi wake wanatumia Mkaa na kuni na kusema kuwa ili kuondokana na tatizo hilo Wananchi wataweza kufaidika na mradi huo wa umeme jua ambao utawapungizia gharama zaidi.

Hamad Rashid amesema kampuni hiyo imeamua kuwekeza kwanza Zanzibar kulingana na mahitaji halisi ya Zanzibar katika suala zima la upatikanaji wa umeme wa uhakika halikadhalika kupunguza gharama kwa serikali ya Zanzibar.

Taasisi hiyo pia imetia saini mkataba mwingine wa uzalishaji wa dawa ambao umepanga pia kutumia malighafi za Tanzania kutengeneza dawa za binadamu ili kuona gharama za ununuzi wa dawa kwa Wananchi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala