Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Thamani ya mauzo DSE yapanda kwa asilimia 1800

Jumatatu , 7th Oct , 2019

Kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka 2019, thamani ya mauzo ya hisa imefikia Shilingi bilioni 527.41 ambayo ni sawa na ongezeko la zaidi ya asilimia 1,800 ya robo ya pili ya mwaka 2019 na zaidi ya asilimia 1600 ya robo ya tatu ya mwaka 2018.

Soko la hisa

Taarifa hiyo imetolewa leo Oktoba 7, 2019 na Meneja Miradi wa Soko la Hisa la Dar es Salaam(DSE) Emmanuel Nyalali, ambapo amesema kuwa  hisa za Vodacom ndiyo chanzo cha kuongezeka kwa thamani hiyo baada ya wawekezaji wawili wakubwa kuuziana hisa.

''Mpaka sasa kwa mwaka 2019, ni kaunta ya vodacom ndiyo imechangia 85.11 ya thamani ya mauzo ya hisa, ikifuatiwa na TBL kwa asilimia 12.52 na CRDB kwa asilimia 1.69, ambapo kaunta ya Vodacom imechangia kwa asilimia 85.50 ya idadi ya hisa zilizouzwa sokoni, ikifuatiwa na kaunta ya CRDB kwa asilimia 12.93 na TBL asilimia 1.02'', amesema Nyalali.

Kwa sasa thamani ya hatifungani zilizoorodhesha kwenye Soko la Hisa, zilifikia Shilingi trilioni 10.40, ambayo ni sawa na hatifungani za Serikali zenye thamani ya Shilingi  trilioni 10.22 na hatifungani zilizotolewa  na makampuni sawa na thamani ya Shilingi bilioni 176.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria